Monday 15 August 2016

Wahack akaunti ya Instagram ya Joh Makini, wafuta kila kitu na kuibadilisha kuwa ‘fashionswebtz’

Hackers hawataki Joh Makini afurahie akaunti yake ya Instagram inayokaribia kufikisha followers milioni 1.
Mwishoni mwa wiki, watu wasiojulikana wameidukua tena akaunti ya rapper huyo wa ‘Perfect Combo’, kufuta picha zote, kuunfollow watu wote na kuibadilisha jina kuwa ‘fashionswebtz.’
Akaunti hiyo ina followers zaidi ya 977k. Hadi sasa kuna post tano za hacker huyo zinazoonesha warembo.
Hii ni mara ya pili ndani ya kipindi cha miezi miwili akaunti ya Joh Makini inadukuliwa. Awali akaunti yake iliyokuwa ikitumia jina @joh_makini ilichukuliwa lakini alifanikiwa kuikomboa na kuibadilisha kuw @johmakinitz_

Related Posts

Wahack akaunti ya Instagram ya Joh Makini, wafuta kila kitu na kuibadilisha kuwa ‘fashionswebtz’
4/ 5
Oleh

Subscribe via email

Like the post above? Please subscribe to the latest posts directly via email.