Wednesday 17 August 2016

Picha: Warembo kwenye video mpya ya Alikiba ni hatari

Alikiba yuko mbioni kuachia silaha yake mpya. Staa huyo wa ‘Aje’ ameonjesha kidogo kile kitakachoonekana kwenye video ya ngoma yake mpya, na mashallah itakuwa na warembo haswaaa.

Staa huyo ameshare picha akiwa mbele ya jumba la kifahari na warembo wanane jijini Johannesburg, Afrika Kusini alikokuwa huko mwezi uliopita.

source:bongo5

Related Posts

Picha: Warembo kwenye video mpya ya Alikiba ni hatari
4/ 5
Oleh

Subscribe via email

Like the post above? Please subscribe to the latest posts directly via email.