Alikiba yuko mbioni kuachia silaha yake mpya. Staa huyo wa ‘Aje’
ameonjesha kidogo kile kitakachoonekana kwenye video ya ngoma yake mpya,
na mashallah itakuwa na warembo haswaaa.
Staa huyo ameshare picha akiwa mbele ya jumba la kifahari na warembo wanane jijini Johannesburg, Afrika Kusini alikokuwa huko mwezi uliopita.
source:bongo5
Staa huyo ameshare picha akiwa mbele ya jumba la kifahari na warembo wanane jijini Johannesburg, Afrika Kusini alikokuwa huko mwezi uliopita.
source:bongo5
Picha: Warembo kwenye video mpya ya Alikiba ni hatari
4/
5
Oleh
hamisi shehe