Thursday 11 August 2016

Muigizaji wa filamu Bongo, Jada apoteza kumbukumbu baada ya ajali akiwa location


Muigizaji wa filamu Bongo, Jada amepoteza kumbukumbu baada ya kupata ajali ya kujigonga ukutani akiwa location.

Taarifa hiyo imetolewa na muongozaji wa filamu aliyokuwa anashoot, Leah Richard Mwendamseka maarufu kama Lamata kupitia kipindi cha Magic Style cha CG FM ya Tabora.

Leah amesema Jada anaendelea na matibabu ya kumsaidia kurudisha kumbukumbu zake zote. Amedai kuwa tatizo hilo lilitokea baada ya wiki tatu akiwa ameshamaliza kushoot filamu hiyo na kwamba mashabiki wamuombee.

Related Posts

Muigizaji wa filamu Bongo, Jada apoteza kumbukumbu baada ya ajali akiwa location
4/ 5
Oleh

Subscribe via email

Like the post above? Please subscribe to the latest posts directly via email.