Monday 15 August 2016

Hanscana atemana na Wanene Entertainment

Hanscana  hamisishehe.blogsport.com
Muongozaji mahiri wa video nchini, Hanscana ametangaza kuacha na kampuni ya Wanene Entertainment ikiwa ni wiki chache toka wazindue studio mpya na zakisasa za kampuni hiyo.

Director huyo ambaye kwa sasa anafanya video nyingi za wasanii, amesema hajagombana na uongozi wa kampuni hiyo bali anaamua kuanza maisha yake binafsi.
Kupitia instagram yake alitoa taarifa hii.
Special Announcement.
Hanscana na Crew yangu nzima ya videos department HATUPO TENA WANENE ENT tangu 4Aug2016 Kwasababu .
1. kutofautiana kimalengo baina ya HANSCANA BRAND na WANENE ENT.
Ni Juhudi kubwa sana nilizotumia kuitengenezea jina na kuitangaza NA KUIPIGANIA KAMA KITU CHANGU KABISAAA FROM ZEEEERO TO YEEAH Wanene Ent mpaka kufikia kuwa ni moja ya Kampuni kubwa ya Videos hapa E.A
2. Nimekuwa now (23 😬)
HANSCANA nahitaji kuwa na Kampuni yangu na mimi
BUT HAKUNA UBAYA WOWOTE BAINA YANGU NA WANENE ENT. BADO NNA MAPENZI NA WANENE ENT COZ NI KITU AMBACHO NILIKIPIGANIA MWENYEWE SIWEZI KUKIONGELEA VIBAYA HATA KWA BAHATI MBAYA
Nimeamuwa kuliweka hili wazi tokana napokea simu nyingi sana toka vyombo tofaut tofauti vya habari,bloggers etc kujuwa whats happening btwn me n wanene. Na huo ndo ukweli NO MORE 🙏🏾

Related Posts

Hanscana atemana na Wanene Entertainment
4/ 5
Oleh

Subscribe via email

Like the post above? Please subscribe to the latest posts directly via email.