Thursday 11 August 2016

Vera Sidika amtaja anayemsikiliza kati ya Diamond na Alikiba

Mrembo wa Kenya, Vera Sidika amejibu swali la ni nyimbo za msanii yupi anazozisikiliza zaidi kati ya Diamond na Alikiba.




“Mimi namsikiliza Diamond,” anasema Vera. “Style yake tofauti kisha nzuri, kisha naona kuwa amejikakamua anatoa hits after hits hatulii, yeye hutia bidii kila siku. Halafu pia si muziki peke yake, ameweza kusaidia vijana kuwapatia nafasi ya ku-explore talent zao, kama sasa hivi yuko na artists ambao wako chini yake which is a good thing,” ameongeza.
Vera amedai pia kuwa anampenda Diamond kwasababu ni baba mzuri na anayetimiza majukumu yake.












Related Posts

Vera Sidika amtaja anayemsikiliza kati ya Diamond na Alikiba
4/ 5
Oleh

Subscribe via email

Like the post above? Please subscribe to the latest posts directly via email.